Producer Steve aliyetaarisha wimbo wa marehemu Sam wa Ukweli kaendelea kuhadithia historia ya wimbo huo ambao marehemu alikuwa akirecord mpaka mauti kumkuta ambapo amesema Sam alikuwa akirecord wimbo huo huku akiimba kwa hisia sana mpaka machozi kumtoka kitu kilichowafanya waliokuwepo studio wasimuangalie.
Bonyeza PLAY hapa chini kusikiliza Producer STEVE akielezea..
VIDEO: Sam wa Ukweli afariki Dunia..
FULL STORY: Kifo cha Sam wa Ukweli aliomba afungwe Pampers
____________________________________________________________________ ASANTE KWA KUFUNGUA POST HII Tuna kusihii endelea kutembelea blog yetu ili upate kujifunza meng pia kwa kupakua nyimbo mpya kila Siku ********************************************************* Je? Wewe ni msanii au mfanya biashara Je? Wahitaji tangazo au mziki wako uwafikie watu weng Tangaza mziki biashar tangazo NK. hapa wasiliana nasi 0757136484 Email. Kingsevenmedia@gmail.com
0 Maoni
King seven tz