Music Promotion
MSANII ZINGATIA SANA VIGEZO VIFUATAVYO:
1: Tuma Wimbo ukiambatanisha Picha (Cover photo) ya Msanii Kupitia Njia Zifuatazo;
(i) Email: kingseventz@gmail.com
(ii)WhatsApp namba: +255757136484
ZINGATIA: Kama huna Cover Photo yaani Picha ya Msanii Piga +255757136484.
2: Pia Wewe kama msanii Utaweza Kulipia Tsh. 3000/= (Elfu tatu tu) kwa Audio moja. Na kama ni Audio + Video utalipia Tsh. 10000/= (Elfu Kumi tu) na Kwa Video Peke yake ni Tsh. 7000/= (Elfu saba tu)
3: Njia Za Malipo:
(i) M-PESA: 0757136484 (Severin michael, Jina la Akaunti.)
Baada ya Kufanya Hivyo Vyote Hapo Juu Piga simu au Tutumie Ujumbe Mfupi Kupitia Namba +255757126484
kwa huduma yoyote kama
1>kutangaza (promote) muziki wako kwenye blog yetu
2>Kufanya blog designing ili blog yak iwe na muonekano mzuri
2>Kutengenezewa Android App na kuwekewa PLAY STORE wasiliana nasi kwa;
phone; 0757 136 484 (whatsapp)
email; kingsevenmedia@gmail.com
instagram; @king_seven_tz
0 Maoni
King seven tz