Ticker

6/recent/ticker-posts

harmo rapper kiki ali bahatisha ni maneno ya king seven

Msanii toka singida severin Michael  maarufu kama  KING SEVENSEVEN

ambae anatamba na nyimbo yake iitwae WANASEMA

amedai kua



Harmo rapper hana ujanja sasa kwakua amekaukiwa kutokana na kiki zake ambazo alikua akipitia  watu wamezigundua kua zilipendwa

King Seven amedai kua harmo rapper asipo jirekebisha anaweza kupotea kwenye game 
Akiongea na jalada hili LALA MFALME MEDIA king seven 

Aliendelea kusisitiza kua yeye amezisoma kiki za msaniii huyo akiamua kumupita inawezekana ila haja amua  na pia amesema kiki za harmo rapper zilikua za kitoto yeye anakuja na kiki mpya wajiandae
__________________________
Tangaza biashara yako yeyote hapa ili kuwafikia weng zaidi kwa mawasiliano zaidi
0757136484

Chapisha Maoni

0 Maoni