Ticker

6/recent/ticker-posts

KING SEVEN NAELEWA NINACHO KIFANYA

Amefungka haya msanii huyu baada ya kuulizwa maswali kadhaa na baadhi ya mashabiki wake
Amedai kua watu weng wanafanya mziki kama burudan kwao yaan anaimba ili apate kiki ilaa yeye amekanusha kwamba



Anajua anacho kifanya kuwa ni ajira yake anategemea mziki umkipe nasio kuulipa mziki
Ameongeza kua vijana weng wamekua wakilewa sifa na kuridhika nakujisifia kua wamefika

Pia amewataka wadau wake na mashabiki Wa mziki wasapoti kazi zake zote

_________________________________________________
Tangaza nasi kupitia namba zifuatazo


0757135483

Au

Kingsevenmedia@gmail.com

Chapisha Maoni

0 Maoni