Watalii wawili wa Marekani walipatwa na mshtuko na kujua maisha yao yamefika mwisho baada ya Mnyama aina ya Duma kuingia kwenye gari lao mbugani Serengeti Tanzania na wao kumshtukia akiwa ameshaingia kupitia dirisha la nyuma.
Mmoja wa Watalii hao amesema baada ya kugundua wana ‘mgeni’ ilibidi wawe watulivu, hawakuwa na nafasi ya kuondoka au kutoroka kwani ingekua hatari zaidi bali walikaa kwa utulivu mkubwa bila kelele mpaka Mnyama huyo alipoondoka, tazama hii video hapa chini kutazama
________________________________________________________________________ ASASANTE KWA KUFUNGUA POST HII Tuna kusihii endelea kutembelea blog yetu ili upate kujifunza meng pia kwa kupakua nyimbo mpya kila Siku ********************************************************"""** Tangaza biashara mziki Nk. yako hapa wasiliana nasi 0757136484 Email. Kingsevenmedia@gmail.com
0 Maoni
King seven tz