Msanii wa filamu bongo, Daudi Michael maarufu kama 'Duma' amefunguka na kudai kuna wasanii wengi katika 'industry' muvi hawana akili timamu ila wanawavumilia kwa kuwa ndio uwezo wao umeishia hapo.
Duma ametoa kauli hiyo wakati akizungumza mbele ya kamera za eNewz kutoka EATV baada ya msanii Gabo Zigamba kutoa kauli yake iliyozua utata mzito kuwa anahitajika atengenezwe Kanumba mwingine ndani ya filamu za bongo ili aitendee haki tasnia hiyo licha ya Gabo kudai hakuwa na maneno yake hayakuwa na maana kama walivyoyapokea baadhi ya wasanii na mashabiki wa filamu nchini.
"Kama kweli unajiamini wewe ni msanii mzuri, unawezo, unajituma na kupambana huwezi kusema unahitaji Kanumba mwingine. Kwani sisi hatuwezi alichokifanya Kanumba, unajua sio kila star ana akili timamu wengine ni mitambo tupo nao katika industry' lakini uwezo wao ndio umeishia hapo", amesema Duma.
Pamoja na hayo, Duma ameendelea kwa kusema "kama unajiamini, kujituma na unaweza kufanya kazi kubwa zaidi kwasababu hata hawa viongozi wetu wa nje wanabadilisha kila siku Mawaziri wanakuja wakubwa na wafanya kazi zaidi ya wale waliotangulia kwanini useme hivi hivyo na sisi tuishie hapo hapo".
Duma ametoa kauli hiyo wakati akizungumza mbele ya kamera za eNewz kutoka EATV baada ya msanii Gabo Zigamba kutoa kauli yake iliyozua utata mzito kuwa anahitajika atengenezwe Kanumba mwingine ndani ya filamu za bongo ili aitendee haki tasnia hiyo licha ya Gabo kudai hakuwa na maneno yake hayakuwa na maana kama walivyoyapokea baadhi ya wasanii na mashabiki wa filamu nchini.
"Kama kweli unajiamini wewe ni msanii mzuri, unawezo, unajituma na kupambana huwezi kusema unahitaji Kanumba mwingine. Kwani sisi hatuwezi alichokifanya Kanumba, unajua sio kila star ana akili timamu wengine ni mitambo tupo nao katika industry' lakini uwezo wao ndio umeishia hapo", amesema Duma.
Pamoja na hayo, Duma ameendelea kwa kusema "kama unajiamini, kujituma na unaweza kufanya kazi kubwa zaidi kwasababu hata hawa viongozi wetu wa nje wanabadilisha kila siku Mawaziri wanakuja wakubwa na wafanya kazi zaidi ya wale waliotangulia kwanini useme hivi hivyo na sisi tuishie hapo hapo".
____________________________________________________________________ ASANTE KWA KUFUNGUA POST HII Tuna kusihii endelea kutembelea blog yetu ili upate kujifunza meng pia kwa kupakua nyimbo mpya kila Siku ********************************************************* Je? Wewe ni msanii au mfanya biashara Je? Wahitaji tangazo au mziki wako uwafikie watu weng Tangaza mziki biashar tangazo NK. hapa wasiliana nasi 0757136484 Email. Kingsevenmedia@gmail.com
0 Maoni
King seven tz