Miongoni mwa maswali ambayo huwachanganya wavulana wengi ni pamoja ni kwa jinsi gani anaweza kumtongoza msichana na hatimaye akakubali. Wengi wao wanakuwa hawana ile nguvu ya kujiamini ya kumtongoza msichana huyo macho kwa macho, wengi wao utawasikia ooh samahani naomba namba yako.
Sasa ili kuwaponya madomo zenge walio wengi hii ndiyo tiba ya kumtongoza mrembo yeyote hatimaye akakukubali.
1. Usimfanye ajue unampenda kwa dhati.
Wanaume wengi huwa wanafanyaga kosa hili kubwa . Wanawaambia wanawake wanawapenda au wanahisia za kimapenzi kwao . Ni kweli unampenda , anajua hivyo tayari . Au hajui ? Unampigia simu kila saa , mnataniani kimapenzi na anaona uhusiano wenu kabisa .
Kwahiyo japokua anahisi unampenda , usije kuonyesha hivyo kwani anahitaji kusikia kutoka kwako ili ajihakikishia hisia zake . Chukulia poa na usifunguke kuhusu hisia zako kwake , kitendawili alichonacho ndicho kitamfanya azidi kukunata na kutaka kujua mwisho wa mambo .
2. Ishi Maisha mawili
Unapoongea nae usiku , mwaga sera zako na funguka kuhusu mambo ya mapenzi sema mkikutana ana kwa ana mchana usiongelee mambo ya mapenzi kabisa labda aanze yeye na hivyo kumaanisha ashaingia line na anapenda maongezi hayo .
Pia epuka kuongelea kuhusu mambo yenu ya kimapenzi mnapokua na marafiki wengine bali fanyeni hivyo mkiwa wawili . Kwa kufanya hivyo unamfanya aamini kuna uhusiano motomoto wa siri unapikika kati yenu
3. Kuwa karibu na mtu huyo. Siku zote , kama unataka kumtokea msichana njia muhimu kabisa ni kuweza kumjua kwa undani .Usikurupuke kurupuke tu ukaanza kutongoza , msichana ataogopa au atakuona mtu rahisi kua nae na mwisho wa siku utaishia kumboa tu .
Ongea nae na upate kumjua vizuri . Mtumie message na usiwe na mzuka , mfanye awe kama rafiki kwanza . Usimtokee kwanza sema pia usisubiri sana maana ataanza kukuchukulia poa .
Ukitumia mbinu hizo tatu nina imani kubwa ni lazima msichana huyo utampata tu.
Endelea kutembelea kingseventz kila wakati.
___________________________________________________________________ ASANTE KWA KUFUNGUA POST HII
Tuna kusihii endelea kutembelea blog yetu ili upate kujifunza meng pia kwa kupakua nyimbo mpya kila Siku *********************************************************
Je? Wewe ni msanii au mfanya biashara
Je? Wahitaji tangazo au mziki wako uwafikie watu weng Tangaza mziki biashar tangazo NK. hapa wasiliana nasi 0757136484 Email. Kingsevenmedia@gmail.com
var testimonials = [
{ quote: "Tovuti hii ni nzuri sana. Inanipa maarifa mengi.", name: "John Doe", image: "link_to_image1.jpg" },
{ quote: "Thanks for all the valuable content. Keep it up!", name: "Maria M.", image: "link_to_image2.jpg" },
{ quote: "Blog hii imenisaidia kujifunza mambo mapya kila siku.", name: "Ahmed A.", image: "link_to_image3.jpg" },
{ quote: "The information here is top-notch! Very informative.", name: "Hannah W.", image: "link_to_image4.jpg" },
{ quote: "Kama ungeweza kubadilisha speed ya page kidogo, ingekuwa bora zaidi.", name: "Samuel K.", image: "link_to_image5.jpg" },
{ quote: "Mpenzi blogu hii inaburudisha sana. Ningependa kuona zaidi.", name: "Pierre D.", image: "link_to_image6.jpg" },
{ quote: "Huu ni ukweli! Umeandika kwa ufanisi na umenivutia sana.", name: "Rachel L.", image: "link_to_image7.jpg" },
{ quote: "Blog hii inatoa maarifa mengi kuhusu kila kitu.", name: "Isaac T.", image: "link_to_image8.jpg" },
{ quote: "Nashukuru kwa hili, ni mkombozi wangu katika kusoma.", name: "Fatuma S.", image: "link_to_image9.jpg" },
{ quote: "Hii blogu ni bora sana. Inafaa kwa kila mtu anayetaka kujifunza.", name: "Lina K.", image: "link_to_image10.jpg" },
{ quote: "Mambo mnayoyaandika ni ya kisasa na yanavutia. Asante.", name: "Linda P.", image: "link_to_image11.jpg" },
{ quote: "Your blog has been an eye-opener to me!", name: "Musa W.", image: "link_to_image12.jpg" },
{ quote: "Blogu hii ina style ya kipekee. Ninapenda sana.", name: "Peter J.", image: "link_to_image13.jpg" },
{ quote: "Keep up the great work! I am enjoying reading.", name: "Sarah M.", image: "link_to_image14.jpg" },
{ quote: "Napenda jinsi unavyoandika kwa ufanisi. Continue like this.", name: "John K.", image: "link_to_image15.jpg" },
{ quote: "Blogu yako ni muhimu sana kwa kila mwanafunzi.", name: "Kazi A.", image: "link_to_image16.jpg" },
{ quote: "This is the best content I have read in a while. Keep it up!", name: "Cynthia R.", image: "link_to_image17.jpg" },
{ quote: "Mengi sana yanajificha kwenye blogu hii. Sijawahi kuona kama hii.", name: "Yasin N.", image: "link_to_image18.jpg" },
{ quote: "Hii blogu ni nzuri. Napenda jinsi unavyochanganya topics tofauti.", name: "Susan L.", image: "link_to_image19.jpg" },
{ quote: "Nashukuru kwa huduma hii. Weka zaidi za motivation.", name: "Amani W.", image: "link_to_image20.jpg" },
{ quote: "Very insightful content that helped me a lot.", name: "Chris O.", image: "link_to_image21.jpg" },
{ quote: "Tunapata maarifa ya ajabu. Keep posting more!", name: "Mike T.", image: "link_to_image22.jpg" },
{ quote: "Jina lako linavutia sana. Umeandika kwa ufundi mkubwa.", name: "Emma K.", image: "link_to_image23.jpg" },
{ quote: "Asante kwa ufahamu huu. Nimejifunza vitu vingi.", name: "David L.", image: "link_to_image24.jpg" },
{ quote: "Jumuia hii inafaida kubwa. Umechangia sana.", name: "Juma A.", image: "link_to_image25.jpg" },
{ quote: "Amazing insights, I learn something new every time.", name: "Jade T.", image: "link_to_image26.jpg" },
{ quote: "Ninapenda sana blog hii. Imeongeza elimu yangu.", name: "Grace P.", image: "link_to_image27.jpg" },
{ quote: "I recommend this blog for all the young learners.", name: "Omar M.", image: "link_to_image28.jpg" },
{ quote: "Nashukuru kwa hili, itachangia maendeleo yangu.", name: "Rose M.", image: "link_to_image29.jpg" },
{ quote: "Jambo hili limenivutia sana. Najivunia kuwa mfuatiliaji wako.", name: "Daniel C.", image: "link_to_image30.jpg" },
{ quote: "Incredible blog with so much knowledge!", name: "Mariam A.", image: "link_to_image31.jpg" },
{ quote: "Nina furaha kuwa sehemu ya jamii hii ya blog.", name: "Ali K.", image: "link_to_image32.jpg" },
{ quote: "Nimeshuhudia maendeleo mengi kwa kutumia blog hii.", name: "Naomi J.", image: "link_to_image33.jpg" },
{ quote: "Nashukuru kwa elimu unayotufundisha kupitia blog hii.", name: "David R.", image: "link_to_image34.jpg" },
{ quote: "I love the diverse topics covered on this blog.", name: "Sally T.", image: "link_to_image35.jpg" },
{ quote: "Blog hii ni ya kipekee. Asante kwa kufanya hivyo.", name: "Sophia M.", image: "link_to_image36.jpg" },
{ quote: "I'm amazed by the knowledge shared here.", name: "Mohamed B.", image: "link_to_image37.jpg" },
{ quote: "Hii blogu inafaa sana kwa wapenzi wa kujifunza.", name: "Jane N.", image: "link_to_image38.jpg" },
{ quote: "I enjoy reading here every time I visit!", name: "Chris A.", image: "link_to_image39.jpg" },
{ quote: "Tunaomba tuendelee kupokea makala zaidi kama hizi.", name: "Emilia Z.", image: "link_to_image40.jpg" },
{ quote: "Blogu hii inatufanya tuwe na maarifa zaidi.", name: "Joseph R.", image: "link_to_image41.jpg" },
{ quote: "Nice work. I look forward to new content.", name: "Victor L.", image: "link_to_image42.jpg" },
{ quote: "Napenda vitu vya kipekee vinavyopatikana kwenye blog hii.", name: "Karen B.", image: "link_to_image43.jpg" },
{ quote: "Maoni yangu kuhusu blogu yako ni mazuri. Endelea hivi.", name: "Sina K.", image: "link_to_image44.jpg" },
{ quote: "Your blog keeps improving. Keep the fire burning!", name: "Michael S.", image: "link_to_image45.jpg" },
{ quote: "Kila post inaleta elimu mpya kwangu.", name: "Tunda L.", image: "link_to_image46.jpg" },
{ quote: "This blog has great tips and hacks. I love it!", name: "George T.", image: "link_to_image47.jpg" },
{ quote: "Kweli, blog hii imefungua macho yangu. Asante.", name: "Joseph M.", image: "link_to_image48.jpg" },
{ quote: "I always learn something new when I read your posts.", name: "Wema N.", image: "link_to_image49.jpg" },
{ quote: "Umeandika kwa weledi mkubwa. Asante kwa hili.", name: "Peter M.", image: "link_to_image50.jpg" }
];
0 Maoni
King seven tz