NATO na Afghanistan zaongoza kwenye kuua raia


Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa inasema kuwa vikosi vya Serikali na vya kimataifa viliuwa raia wengi zaidi kuliko kundi la Taliban nchini Afghanistan katika robo ya kwanza ya mwaka 2019

Ripoti hiyo ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan (UNAMA) imesema kuwa raia 581 waliuawa baina ya tarehe 1 Januari hadi 31 Machi, huku vikosi vya NATO na vya Serikali ya Afghanistan vikihusika na vifo 305 kati ya hivyo

____________________________________________________________________ ASANTE KWA KUFUNGUA POST HII Tuna kusihii endelea kutembelea blog yetu ili upate kujifunza meng pia kwa kupakua nyimbo mpya kila Siku ********************************************************* Je? Wewe ni msanii au mfanya biashara Je? Wahitaji tangazo au mziki wako uwafikie watu weng Tangaza mziki biashar tangazo NK. hapa wasiliana nasi 0757136484 Email. Kingsevenmedia@gmail.com

Chapisha Maoni

0 Maoni